Nauza vitu vya thamani vya ndani kwa bei ya 350,000 Tzs.

Habari wana jamvi kama kichwa cha habari kinavyosomeka nauza vitu vifuatavyo jiko la gas mtungi mdogo, kitanda na godoro lake, zuria, feni, kikabati kidogo, stand ya viatu, rice cooker, stand ya nguo n.k karibuni..
weka picha mzee
 
Habari wana jamvi kama kichwa cha habari kinavyosomeka nauza vitu vifuatavyo jiko la gas mtungi mdogo, kitanda na godoro lake, zuria, feni, kikabati kidogo, stand ya viatu, rice cooker, stand ya nguo n.k karibuni..
Unapatikana wapi???
 
Mbona godoro limeliwa na panya hivyo? Mtungi umetoboka gesi inakaaje humo? Kitanda 3 kwa 6 daaah
Habari wana jamvi kama kichwa cha habari kinavyosomeka nauza vitu vifuatavyo jiko la gas mtungi mdogo, kitanda na godoro lake, zuria, feni, kikabati kidogo, stand ya viatu, rice cooker, stand ya nguo n.k karibuni..
 
kitanda na godoro bei 250,000
FB_IMG_1555751274418.jpeg
 
Jiko la gesi pleti mbili-WESTPOINT
Jiko la umeme pleti mbili-NIKAI
YANAUZWA
Location-dsm

Weka ofa yako
 

Attachments

  • 15714918258824813407999659083872.jpg
    15714918258824813407999659083872.jpg
    176.4 KB · Views: 2
  • 15714918698677059990410743220121.jpg
    15714918698677059990410743220121.jpg
    220.6 KB · Views: 2

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom