google helper
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 9,629
- 13,688
kwan Daby wanene wanatumia kifuniko au mfuniko ? hapo kama pamenichanganyaNimeamua kuhamia biashara yangu humu ndani naamini mpo wadada warembo mtakaoniunga mkono kwenye hii biashara yangu mpiya.
Nauza vifuniko vya asali vya kila aina.
Uwe mwembamba kifuniko chako kipo. Uwe kibonge kama nanii kifuniko kipo. Karibu pm tuma umbo nikuchagulie kifuniko haraka kabla havijaisha.
Najali wateja...nawafit mwenyewe pale wanapohitaji msaada....G-string zipo...lace zipo...ni wewe tu...karibu ujichagulie kifuniko...
View attachment 1165004View attachment 1165005View attachment 1165006View attachment 1165007