Weweeeee shauri yako sawa tutakuja fundiRaha ya cheko asali iwe imeshafunikwa usije ukacheka saana ikamwagika yakhee.
Uje nikupime ebu...
Akikujibu unitagOoh hongera Kwa biashara,ni pesa ngapi per kifuniko?
Mmh bei hazipo fixed?Inategemea na umbile lako mpendwa.
Lako lipi nipate kuainisha bei vizuri?
Heee shauri yangu.
Usichelewe....huko kuja kwako kuje na wateja pendwa wengine.
si unaelewa ratiba yangu ukhuty mchakamchaka huku umeshaanza mpaka kichwa kinauma leo nitaweza kukupitia tuongee mawili matatu au uke ujiamsheUmeadimika mpendwa kulikoni
Loooh maan sio kwa kimy hicho jamani had tunakumis karib sanasi unaelewa ratiba yangu ukhuty mchakamchaka huku umeshaanza mpaka kichwa kinauma leo nitaweza kukupitia tuongee mawili matatu au uke ujiamshe
nakuja sasa hiviLoooh maan sio kwa kimy hicho jamani had tunakumis karib sana
Mekungoja pasipo mafanikionakuja sasa hivi
nipo nnje hapaMekungoja pasipo mafanikio
Naona umelala hay usiku mwemanipo nnje hapa