Nadhani hautaniharibia hii biashara Mshana Jr...Daby hahahaaaaa
@Daby naomba dazani moja size unaijuaChagua idadi ambayo unaona inakutosha , Kisha utanijulisha , nipo kwa ajil yako
Baba kwani hutaki kusaidiwa?Mama wewe uje kifuniko chako kipo tayari....siwajua size naijua tena.
Nitapima mwenyewe we tuma tu kwenye SuperfeoHaswa naiajua...ukuje sasa nikupime dozen nzima.
JiaminiMmmh...asije akasaidia na vingine tu.
Wa mikoani huwa mnatumia vifuniko!!!!?mkoani unatuma mkuu
Ooh hongera Kwa biashara,ni pesa ngapi per kifuniko?
Kila aina chagua 2,2.Ngoja nikae hapa labda nitapata wa kuninunulia