Nauza vifaa vya Toshiba

yohas

Member
Mar 28, 2014
15
1
Nauza vifaa vya Toshiba kwa mwenye uhitaji tuwasiliane kwa namba 0687957579
 
Mimi nahitaji RAM ya Laptop pia ya 2GB na Keyboard yake, Keyboard itakuwa sh.ngapi Mkuu?
 
Mie nadhan huu uzi usomeke hiv
"Nauza vifaa baadhi vya toshiba "
Maana unaposema kitu fulan huna napata ukakasi
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom