loliondokwetu
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 1,004
- 1,075
Wandugu nauza kadeti original tsh.23,000 ni za kuvutika na staff jeans (office jeans) tsh 22,000 pia jeans 18,000 pamoja na mashati
Shame on you,Wandugu nauza kadeti original tsh.23,000 ni za kuvutika na staff jeans (office jeans) tsh 22,000 pia jeans 18,000 pamoja na mashati
Una chuki binafsi na mimi au la? kwanini hukurudisha kama uliona hazikufai. wapo wengi nimewauzia sijapata malalamikoMkuu niwe mkweli kadeti zako ni MBAYA na FEKI kwa kiwango kilichopitiliza, ulinileteaga tatu nimevaa hata mwezi haukupita bt hazitamaniki, FEKI, FEKI, FEKI SIJAPATA ONA, kwa wateja wapya ambao hawajui status ya products unayouza utawapata bt kamwe mtu akinunua kwako huwezi ukamuona tena, itoshe tu kukwambia ACHA UHUNI NA UBABAISHAJI.
Mbona hueleweki wewe, au umelewa Pombe? Unajijibu mwenyewe huku ukitangaza biashara?Mkuu niwe mkweli kadeti zako ni MBAYA na FEKI kwa kiwango kilichopitiliza, ulinileteaga tatu nimevaa hata mwezi haukupita bt hazitamaniki, FEKI, FEKI, FEKI SIJAPATA ONA, kwa wateja wapya ambao hawajui status ya products unayouza utawapata bt kamwe mtu akinunua kwako huwezi ukamuona tena, itoshe tu kukwambia ACHA UHUNI NA UBABAISHAJI.
Oh kumekucha!Mkuu niwe mkweli kadeti zako ni MBAYA na FEKI kwa kiwango kilichopitiliza, ulinileteaga tatu nimevaa hata mwezi haukupita bt hazitamaniki, FEKI, FEKI, FEKI SIJAPATA ONA, kwa wateja wapya ambao hawajui status ya products unayouza utawapata bt kamwe mtu akinunua kwako huwezi ukamuona tena, itoshe tu kukwambia ACHA UHUNI NA UBABAISHAJI.
Kaa mbali na kadeti za huyu mwamba mzee, ni zaidi ya taka taka.Oh kumekucha!
Aliniletea tatu ndani ya miezi miwili tu hazitamaniki, mbaya mbaya balaa.Oh kumekucha!
Picha tupeAliniletea tatu ndani ya miezi miwili tu hazitamaniki, mbaya mbaya balaa.
Ata ukija na ids ngapi, wewe ni muhuni unaenda kuokota ronya ronya kariakoo unadanyanya watu kuwa ni cadet og,Mbona hueleweki wewe, au umelewa Pombe? Unajijibu mwenyewe huku ukitangaza biashara?
Acha uhuni mzee, hakuna cadeti hapo.Una chuki binafsi na mimi au la? kwanini hukurudisha kama uliona hazikufai. wapo wengi nimewauzia sijapata malalamiko
Mwagize akuletee hata moja tu, then hazitapita wiki mbili utapata majibu.Picha tupe
Ungemrudishia kama hukuridhka na bidhaa zakeTena kama unavaa size 30 or size yoyote ukimuagiza huyu mwamba kulingana na size yako, kwa kadeti zake andaa na hela ya kwenda kupunguza au kuongeza kwa fundi.
Hana permanent ofisi, ofisi yake ni miguu, unaagiza anakuletea, ata kama angekuwa na ofisi inawezekanaje mzee ununue nguo uivae lets say for 2 days alafu uridishe ata ingekuwa wewe ungekubali?Ungemrudishia kama hukuridhka na bidhaa zake
Hukuweza kujua Ni feki kabla ya kuvaa!?Hana permanent ofisi, ofisi yake ni miguu, unaagiza anakuletea, ata kama angekuwa na ofisi inawezekanaje mzee ununue nguo uivae lets say for 2 days alafu uridishe ata ingekuwa wewe ungekubali?
Watu wengi hua wanapigwa kwenye kadeti sana wakidanganywa kua ni origino..Hukuweza kujua Ni feki kabla ya kuvaa!?
Nitawezaje kugundua kuwa hii kadeti ni original?Watu wengi hua wanapigwa kwenye kadeti sana wakidanganywa kua ni origino..
Kadeti origino kweli bei yake si mchezo!
Broo, Mimi hata simfahamu huyo aliyekuuzia hizo suruali, shida Ni kwamba unamponda suruali zake halafu wewe unatangaza za kwako is it fair!?Ata ukija na ids ngapi, wewe ni muhuni unaenda kuokota ronya ronya kariakoo unadanyanya watu kuwa ni cadet og,
Kivip, na wewe unaambiwa we unauza takataka....acha watu wenye OG wauze mkuu!!Shame on you,
Sina utaalam sana kwa hilo, ila hua nachukua kwa jamaa mmoja insta anaitwa Kingly_looksNitawezaje kugundua kuwa hii kadeti ni original?