Nauza sungura

chenera

Member
Apr 11, 2017
10
10
Nauza sungura wa kisasa mmoja 30,000 nipo mbezi makabe Dar
Call/whatsapp 0753534514
0d249091cb1212c56106f9195bec4485.jpg
87708c8e44accace66b2d281d62d1bc9.jpg
 
Biashara za msimu watu wamedanganywa wamefuga kwa wingi soko hakuna
Tatizo lako umekariri kwamba kila kitu ni cha msimu na kingine wewe una ubinafsi, haiwezekani wewe umekaa huko uliko unaanza kusema hakuna wateja, kakuambia nani???????????..........Kitendo cha huyu ndugu kuweka tangazo hapa jf ndio mwanzo wa kupata wateja ambao wewe unasema huwaoni. Pole sana endelea na kukariri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom