Nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 70 liko Kiwangwa kijiji cha Lugogo kila ekari ni Tshs 600,000/= maelewano yapo. Umbali wa Km 4 toka barabara ya lami Msatta - Dar, gari inafika hadi shambani Ni eneo zurikwa kilimo cha mananasi, mbaazi, n.k. Wasiliana nami 0682 110110