Nauza shamba 30 heka square metres 2100

chazi piere

Senior Member
Jun 12, 2016
121
65
Shamba ni la urithi bado halijapimwa.
Lipo kijiji cha kwala wilaya ya kibaha vijijini(kijiji ambacho kuna miradi 2 mikubwa ya serikali yani ujenzi wa station ya reli mpya standard gauge pamoja na bandari kavu/dry port)
Kijiji kimesajiliwa hivyo ukihitaji kupimiwa na kupata hati miliki za kimila inawezekana.
Bei 1M @Heka(maongezi yapo)
Contacts: +255625511803
 
huduma muhimu zipo maji ya bomba,umeme,kituo cha polisi,zahanati,shule msingi na secondary.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom