iyo ya kuanzia c tu mkuu ila top 100k kama uko interested au kuna mtu anataka karibu sana.Dah! Hiyo bei kubwa sana kwa watu wa dar especially kwa J1.Nakushauri punguza bei.
ile ww fastakula hamsin faster
of course samsung kioo ni gharama sana coz vipo tofauti na vinginenilikuwa nayo hyo nikavunja display.kwenda kuulizia display nikaambiwa laki na ishirini.
Nikaitupa na simu yenyewe
noop mzee cm nzimah hii myb 100kLamba 55 fasta kabla sijaipiga balimi
simu ipo we nichek 0676010297iyo simu bado ipo mkuu?