yakobo11
JF-Expert Member
- Aug 10, 2016
- 510
- 736
- Thread starter
- #21
Nilikuwa naingiza shilingi 100,000/= mpaka 115,000/= kwa siku . Siku kama hakuna mauzo sana basi nilikuwa napata 80,000/= mpaka 60,000/= kwa siku.Ilikuwa inaingiza sh ngapi kwa siku? Je hiyo M6 nikiwekeza inaweza kurudi baada ya muda gani?
Uzuri ipo sehemu nzuri kibiashara. Uwanja wa ndege Dar .JNIA.