yakobo11
JF-Expert Member
- Aug 10, 2016
- 510
- 736
Jamani hii SALON ina vitu vifuatavyo ndani ambavyo vinauzwa pamoja na kufanya bei ianzie Mil.6.
1. Ina Viti 2 (vya kunyolea).
2. Ina Machine 2 ( za kimarekani) za kunyolea.
3. Ina sofa mbili za wateja kusubiria kunyoa.
4. Ina Kodi iliyobaki mpaka mwezi wa August,2019.
5. Ina Luku inayojitegemea. Na ukitaka kuondoka nayo utaondoka nayo.
6. Kodi kwa mwezi ni Tzs 150,000/=.
7. Ipo sehemu nzuri sana kwa biashara hiyo maana ni kituoni.
Bei naanzia million 6 , maongezi yapo kwa anayemaanisha. Simu 0739025947
1. Ina Viti 2 (vya kunyolea).
2. Ina Machine 2 ( za kimarekani) za kunyolea.
3. Ina sofa mbili za wateja kusubiria kunyoa.
4. Ina Kodi iliyobaki mpaka mwezi wa August,2019.
5. Ina Luku inayojitegemea. Na ukitaka kuondoka nayo utaondoka nayo.
6. Kodi kwa mwezi ni Tzs 150,000/=.
7. Ipo sehemu nzuri sana kwa biashara hiyo maana ni kituoni.
Bei naanzia million 6 , maongezi yapo kwa anayemaanisha. Simu 0739025947