Hi! wanajamii, nauza nyumba ipo mbezi luis njia panda ya makabe ni km 1.3 kutoka morogoro road, ina vyumba 4 kimoja master, public toilet, jiko, stoo, bado finishing kidogo. kiwanja kinaukubwa wa sqm 650.bei yake ni mil 90.kwa mawasiliano nipigie 0767146448.mimi ndiye mmiliki wa nyumba.Bei inazungumzika.asanteni.