Nauza nyumba mbezi kwa 80M

Master of the game

JF-Expert Member
Sep 1, 2016
5,858
2,680
Nyumba inauzwa Mbezi msakuzi kwa milioni 80 maongezi nakaribisha, nyumba ina vyumba vitatu kimoja master, pia kuna kota ya mtumishi ya chumba na sebule, pia nyumba ina fance na ina exit mbili, kwa mawasiliano na kwenda kuiona hata kesho nitafute kupitia 0689699704
1482500468429.jpg
1482500478984.jpg
1482500491751.jpg
1482500566307.jpg
1482500641891.jpg
1482500652441.jpg
1482500660321.jpg
1482500669751.jpg
1482500680671.jpg
 
Una Certificate of Tax Clearance? Tutajuaje hiyo Nyumba kama ni Imara unaweza kuta Tofari ulifyatua au ulinunua zilitumia cement kidogo au hazikunyweshwa maji ya kutosha.... Kuna House zingine unanunua na inabidi kuzibomoa na kujenga upya... ni sawa na unanunua kiwanja.

Kumbuka Mbezi ni kubwa na zipo Mbili ni ya kule Beach au Goba au ile near Gongo la mboto?
 
Una Certificate of Tax Clearance? Tutajuaje hiyo Nyumba kama ni Imara unaweza kuta Tofari ulifyatua au ulinunua zilitumia cement kidogo au hazikunyweshwa maji ya kutosha.... Kuna House zingine unanunua na inabidi kuzibomoa na kujenga upya... ni sawa na unanunua kiwanja.

Kumbuka Mbezi ni kubwa na zipo Mbili ni ya kule Beach au Goba au ile near Gongo la mboto?
Duh we kweli sio mnunuz
 
Una Certificate of Tax Clearance? Tutajuaje hiyo Nyumba kama ni Imara unaweza kuta Tofari ulifyatua au ulinunua zilitumia cement kidogo au hazikunyweshwa maji ya kutosha.... Kuna House zingine unanunua na inabidi kuzibomoa na kujenga upya... ni sawa na unanunua kiwanja.

Kumbuka Mbezi ni kubwa na zipo Mbili ni ya kule Beach au Goba au ile near Gongo la mboto?
Hayo yote ya nini? Kama ni mnunuzi unakwenda kuikagua hakuna haja ya kuagua
 
Hapana haina mgogoro wowote, na kabla ya kununua utapitia kwenye serikali za mtaa ili kujiridhisha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom