H HAKUNAGA JF-Expert Member Jan 3, 2012 301 72 Sep 18, 2012 #1 Nauza nyumba kwa Tshs 20,000,000/= (Milioni Ishirini). Ipo Kigogo Kati, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.Nicheki kwa namba 0713-632526
Nauza nyumba kwa Tshs 20,000,000/= (Milioni Ishirini). Ipo Kigogo Kati, Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam.Nicheki kwa namba 0713-632526
Shark JF-Expert Member Jan 25, 2010 29,459 29,153 Sep 18, 2012 #2 Panafikikaje? Maji, Umeme, Barabara, Muonekano wa Nyumba??
bibliography JF-Expert Member May 20, 2011 614 226 Sep 18, 2012 #4 kigogo kati pale ambapo kesi yake iko bado kwa pilato?n vp kuhusu mustakabali wa mafuriko?ha ha ha ha labda ingekua 2M
kigogo kati pale ambapo kesi yake iko bado kwa pilato?n vp kuhusu mustakabali wa mafuriko?ha ha ha ha labda ingekua 2M