Desmond Kamala
Senior Member
- Feb 20, 2014
- 134
- 8
hili tangazo ungeliweka upande wa uganda.
mkuu, we unajua ghalama za kuweka kioo kipya??? Ukijumlisha na hiyo 125000 unayoitaka ni bora bora nikachukue Tecno ya maana. Kama vipi nikutandike na 70,000 cash