duuh na mimba yake mkuu si uvumilie kidogo azaeHabari zenu Wana kiti Moto ...kwa kuwa humu nimekosa mteja Basi week ijayo si ndio sukukuu ,nimeamua kumlamba tu kisu na kilo nitauza tsh 9000 Bei elekezi ya serekali
😀😃😆😁😅Ndani ya mimba ana watoto wa ngapi?
Namba yako ya simu iangalie vizuri imezidi namba apoSalaam Sana wakuu.
Nauza Hilo jike Bei ya kutupa ths laki 6 ila amepandwa Kama week 2 zimeisha .
Hiyo Ni zile mbegu ndefu Kama unavyomuona .
Mahali alipo Ni kiluvya gogoni dsm
Picha Zaid tuwasiliane what's up 07554040226
Uje umuone uongee
ChristmasWa mimba ndo umuuza ivo. Spana zimekaba Nini