Boss hiyo ndio gharama ya mziki kama huo. Tena Unafika milioni 55, kuagiza na kufika tanzania. Wanaoelewa. Hawawezi ongea kama wewe.Huwenda kaambiwa JF imekaliwa na matajiri hivyo anajaribu bahati yake Extrovert embu chukua mziki ukapige disco vumbi kongwa najua huwezi kosa pesa za bure kutoka kwa wagogo
Amelewa huyo bwagana nae ziishe kwanza image kichwanKumbe huyu jamaa, huwa nae anajibu hivi kwenye thread.... ishi uone mengi.
ongeza HATA elfu 50 ya usafiri mkuuKula million 3 mkuu