Nauza mpunga upo mkoani Tabora

Mwanambugulu

JF-Expert Member
May 26, 2017
666
814
Kama kichwa kinavyoeleza Hapo naunza mpunga mzuri, upo Tabora gunia za debe saba zipo gunia za kutosha hata kama unahitaji magunia 400 hakuna shida

Bei ni shilingi 65,000 tsh kwa gunia
Kwa maelezo zaidi piga simu kwa namba

0620 466 351
Karibuni.


IMG-20210131-WA0000.jpg
 
Mpunga! ?? Koboa kwanza kamanda.
Umeliona hilo?!!!mkuu hakuna biashara ngumu kama ya kununua mpunga!!unaweza kuja kulia kilio ambacho, bora ushambuliwe na brigedia nzima , huwezi lia hivyo!!kwa wajuzi wa biashara hii tunajua nini hutokea pale una pokuja kuukoboa!!!
 
Back
Top Bottom