Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unaihitaji modem ya voda ipo kwa sh 35,000 tu ni pm tu.
Modem mpya ni sh. elfu 30 iweje wewe uuze ya mkononi tena uliyoisajili kwa jina zaidi ya bei ya dukani?
Modem mpya ni sh. elfu 30 iweje wewe uuze ya mkononi tena uliyoisajili kwa jina zaidi ya bei ya dukani?
Waungwana modem za voda ambazo ziko sokoni kwa sasa ni ZTE k3570 zinazouzwa sh 44,000/Kapotea njia huyu, m.city ni 25,000 na unapewa vocha ya 10,000
angesema model ya modem yake ingekuwa afadhaliWaungwana modem za voda ambazo ziko sokoni kwa sasa ni ZTE k3570 zinazouzwa sh 44,000/
Mkuu mlimani city duka gani wanauza hizo zte 3570 kwa bei hiyo? au huku kwenye ofisi zao karibu na hall na investment bank? maana mimi nilienda mle ndani madukani zinauzwa 44,000/ na hata Ohio street kwenye ofisi zao pia wanauza 44,000/hiyo hiyo ya zte k 3570 inauzwa elfu 15 tu. na vocha ya elfu kumi ndio inakuwa 25000.
wamezipandisha bei mkuu now was sh 44,000hiyo hiyo ya zte k 3570 inauzwa elfu 15 tu. na vocha ya elfu kumi ndio inakuwa 25000.