cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,304
Popobawa hutembelea wanaume hafu nyumba kuuzwa kihasara kuna jambo ikiwemo mauza uzaWalivyokutembelea mara ya mwisho walikupopoa nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Popobawa hutembelea wanaume hafu nyumba kuuzwa kihasara kuna jambo ikiwemo mauza uzaWalivyokutembelea mara ya mwisho walikupopoa nini?
Haku mimi sina hyo hela, but cheap is always expensiveAcha uoga tuchange mkuu, tuifanye hostels.
karibu tufanye utafitiNi shaka na hii biashara inabidi kufanya utafiti wa kutosha kabla ya kununua
✌️✌️✌️Sijapotosha na Sina vita na biashara yako lengo la biashara ni faida
Swali: Kwanini asiweke collateral Bank hii nyumba akachukua mkopo?karibu tufanye utafiti
utakimbiza wateja mzeeHii nyumba naifaham . ni zaidi ya miaka 10 anatafutwa mteja hapatikani. wapangaji nao wakiingia hawakai hata week wanakimbia. Inasemekana nyumba ina mauzauza. Hapo ilipo hamna mtu anayelala ndani
Muwe mnawaweka watu wazi kuwaepushia watu hasara na usumbufu.
Angalizo kwa wanunuzi pia msikurupuke muwe mnaulizia na majirani pia kuhusians na status ya nyumba mnazotaka kununua au kupangisha
Sasa akale wapi? Kila mtu anakula ofisini kwake.Yeye kaongeza 100 Mil.
Madalali ni tabu sana!
Mbona chafu hivi?Mjengo upo mbezi beach upande wa chini Mita 100 tu kutoka lami
Una vyumba 7 vyote self contained
Sitting room 2 juu na chini
Chini kuna dinning jiko na public toilet
Balcon juu ziko 2
Eneo ni sqm 1000 kubwa sanaa..
Ina fremu unayoweza kuweka ya kibiashara
Bei ni milioni 450 tu
Mawasiliano 0677 818283
View attachment 1863397View attachment 1863398View attachment 1863399View attachment 1863400View attachment 1863402View attachment 1863403View attachment 1863404View attachment 1863405View attachment 1863406View attachment 1863407View attachment 1863408View attachment 1863409View attachment 1863410
Duh ina maana jamaa anataka kupiga 100 nzima??Nyumba hiyo hiyo ipo kule fb kwa wale DSM brokers wanataka 350 milions
Sasa ndo aongeze mia yote mkuu..!?Sasa akale wapi? Kila mtu anakula ofisini kwake.
Kwa anayeogopa mauzauza kabla hajainunua anipe 20mil niondoe mauzauza yote ni mzoefu mkubwa na cv yangu ukihiitaji njoo pmHii nyumba naifaham . ni zaidi ya miaka 10 anatafutwa mteja hapatikani. wapangaji nao wakiingia hawakai hata week wanakimbia. Inasemekana nyumba ina mauzauza. Hapo ilipo hamna mtu anayelala ndani
Muwe mnawaweka watu wazi kuwaepushia watu hasara na usumbufu.
Angalizo kwa wanunuzi pia msikurupuke muwe mnaulizia na majirani pia kuhusians na status ya nyumba mnazotaka kununua au kupangisha
nyumba ina miaka mingi hiyo haikaliki mkuuMbona chafu hivi?
Hii nyumba naifaham . ni zaidi ya miaka 10 anatafutwa mteja hapatikani. wapangaji nao wakiingia hawakai hata week wanakimbia. Inasemekana nyumba ina mauzauza. Hapo ilipo hamna mtu anayelala ndani
Muwe mnawaweka watu wazi kuwaepushia watu hasara na usumbufu.
Angalizo kwa wanunuzi pia msikurupuke muwe mnaulizia na majirani pia kuhusians na status ya nyumba mnazotaka kununua au kupangisha
nyumba ina miaka mingi hiyo haikaliki mkuu
Wazee wa fursaKwa anayeogopa mauzauza kabla hajainunua anipe 20mil niondoe mauzauza yote ni mzoefu mkubwa na cv yangu ukihiitaji njoo pm