Nawatakia sikukuu njema marafiki zangu na wateja wangu wote.
Tuweke mikakati kuotesha mipapai au hata miti mbali mbali ya matunda kwenye eneo lako kwa mwaka 2019
Kama upo mbezi ,kinyerezi ,banana,maeneo ya tazara , kigamboni ,mbagala ...Miche naweza kukuletea bore Hadi maeneo hayo maana haipiti week lazima nizuru huko
Hiyo Miche ya papai baada ya week 2 hivi itakuwa tayari kuingia shambani Kama unayo nia ya kulima njoo tuyajenge,,na hiyo ya mwendokasi pilipili being rahisi sanaView attachment 1075389
Hizo hapo Kama unavyoona Zina miezi 3 toka nioteshe ikiwa mche ....Kama unapenda kilimo nakukaribisha kwa ushauri na hamasa papai Ni kilimo Cha biashara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.