hahahaha, kutibu UKIMWI siyo kweli mkuu. Na ingekuwa inatibu UKIMWI sidhani kama bei yake ingekuwa hii tunayouzia.
Yaan imekosekana swala nguvu za kiume tu hapo.
Maana hadi leo mayai ya kware sijui yaliishia wapi among other products under na natural products advertisement?!
Maana siku hizi tumehamia kwa swaga za non commumicable disease ambazo ni zinasababishwa na life style. Sasa hata utumie mbegu tan 100 kama hubadilishi unavoishi na unachokula tatizo litabakia hapo hapo.
Acha tubaki maskini labda tutabadilika yesu akirudi.
Nothing personal.
Kweli mkuuTunapambana humu humu ndani kwanza mkuu. Hatuwezi kwenda nje huku hata ndani hatujalimaliza soko.