Wabongo kwa kujistukia ndiyo maana hatupendi biashara tunapenda Ajira. But am in serious busnessMkuu hujasoma mchezo hapo? Mleta mada ndie huyo huyo uliemtaja kaja kwa mlango wa nyuma baada ya ule uzi wa promo.
Habari wanajamii forum popote mlipo. Waswahili wanamsemo wao usemao asiyejua maana haambiwi maana nauza mayai mawili ya bundi yote kwa tsh milioni tano (tsh 5000,000) kwa anayehitaji tuwasiliane in box. Karibuni sana.View attachment 1585348
Habari wanajamii forum popote mlipo. Waswahili wanamsemo wao usemao asiyejua maana haambiwi maana nauza mayai mawili ya bundi yote kwa tsh milioni tano (tsh 5000,000) kwa anayehitaji tuwasiliane in box. Karibuni sana.View attachment 1585348
Wameleta kazi yake ni hio mkuu.
Mzee umepotea sanaDuh hatari.
Mayai ya bundi
Nipo aisee majukumu tu yamezidi kidogoMzee umepotea sana
Sawa mkuuNipo aisee majukumu tu yamezidi kidogo
Duh! KumbeMkuu hujasoma mchezo hapo? Mleta mada ndie huyo huyo uliemtaja kaja kwa mlango wa nyuma baada ya ule uzi wa promo.
😂 Ana kidiamond kiunoniWameleta kazi yake ni hio mkuu.View attachment 1586344