Agenda binafsi hiiUmejuaje kuwa hizo ni no zangu?
Sii ungeniajiri mie tuu, maana hizi nazo sii sukari za warembo ama?Usimamizi.
Vijana wanahitaji niwepo.
Mimi ratiba imebana.
Ukiwaacha wenyewe kunageuka uwanja wa vita.
Zimekaa zaidi ya mwaka hazifanyi kazi heri nizisogeze tu
Sasa jamani tusipo honga sii mnataka tuwe wandunwa nyetoWeww utahonga mauzo na kiwanda.
Hufai hata kidogo.
Chungulia, ukishajua watt ngapi nijuze niine namna ya kufanya ndugu yangu.yaani hadi leo sijauza.
Nafikiri ni mvivu kupost kutafuta wateja.
Watt hata sijui ngapi ila tunatumia umeme wa kawaida, motor ni hp 1.5
Tutawasiliana Bibie, Kuna kakiporo nakamalizia Kisha tutawasilianaMakaveli watt za wapi?
Maana kuna kompresa, motor na condenser zote zina watt
Njoo uchukue zote 2 kwa 850,000 ninavunja bei.
Maana zimekaa tu hapa.