mr_penguin
Member
- Jul 5, 2018
- 31
- 23
Nauza mashine za kusaga nafaka na kukoboa zipo 3 na zina vibali vyote nimetumia kwa muda wa miezi 7 hazina tatizo lolote.napia ntakupatia na offer ya mashine ya kufunga mifuko.kwa pamoja nahitaji milioni 16...napatikana kigamboni kama unahitaji nipigie 0786049840....nna document zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app