INAUZWA Nauza mashine ya kuchomelea (welding)

fazbt

Member
Nov 27, 2018
9
6
Habari wana JF

Ninayo mashine ya kuchomelea vyuma (Welding mashine) naiuza 150,000/=.

Nipo Mtoni kwa Azizi Ali, na mashime ipo Mbezi ya Tegeta Dar es salaam.

Nipigie 0719 785 546

IMG_20200728_134727.jpg
IMG_20200728_135002.jpg
IMG_20200728_135116.jpg

Sent from my TECNO S1 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu wana JF mashine hiyo bado ipo, inawezekana huu ndo muda wako wa kupata mashine nzuri, na kwa bei ya bahati.
 
pmoses95, niliinunua kipindi najifunza welding, lakini sikuendelea na mafunzo hayo. niliachia njiani. naiuza kwakua sina plani nayo yoyote kwa sasa!
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom