Lita 30,000/=????Wakuu habari, nauza mafuta ya Nazi kwa kupikia, ni mazuri sana hayajachanganywa na chochote. Lita ni Elfu 30000/=
Mawasiliano 0655800252
Unaletewa popote ulipo Tanzania
Ukinunua mafuta ya nazi haina haja tena kununua nazi maana liletui la nazi ndo linatoa hayo mafuta ata ukichukua yale machicha ya nazi ukiyakamua utaona mafuta kwenye mkono wakoKwa mtu akinunua mafuta ndio unaweka na nazi ndani ya mafuta?
Lita 30,000/=????
Ina maana robo nayotumia kwa siku ni 7,500/=, si heri tu nikanunue Nazi yenyewe nipikie nitapata hata kwa 750/=, (1/10) ya bei yako??
Na wewe Mpaka upate lita moja unatumia nazi ngapi? Nini faida ya hayo mafuta badala ya Nazi yenyewe?