Midavudavu
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 287
- 59
Kura yangu itakwenda kwa mwanasiasa yoyote mwenye chama cha siasa au asiye kuwa na chama cha siasa atakaye nihakikishia kuwa mara baada ya kupata Uraisi atakuwa tayari kurudisha Azimio la Arusha. Kura yangu inapatikana bure. Nakumbuka maneneo ya Baba yetu mpendwa ambayo kila nikiyarudia yananitoa machozi kutokana na yanayotendaka sasa hivi katika Nchi hii " Tulikuwa na miioko ya uongozi; wenzetu wakaenda Zanzibar na waliporudi wanafanya mambo ambayo hayaendani na Azio la Arusha; wenye akili tukagundua kuwa limekwisha"