Naona hujui bei ya soko, au ndio ufugaji wa awali?? me mwenyewe ninayo kibao hapa,kama vipi yakuze ili uje uyauze jumla kwa watu wa catering. Bt sio mojamojaMbona we mswahili sana,na hutoendelea...we kama mfugaji unaongea ujinga huo...haya endelea
We si unao wako unahangaika na post yangu ili iwaje,acha uswahili kuwa mtu mzima anaejielewa usilazimishe mambo wewe utakavyo,hunijui na sina haja ya kujielezea kwako so we kaa pembeni hangaika na wako.
Hatutaki kujuana Bali biashara yako ndio unataka tuijue, wanaume wa Dar mnapanic haraka, punguzeni soseji na yai moja ktk breakfastWe si unao wako unahangaika na post yangu ili iwaje,acha uswahili kuwa mtu mzima anaejielewa usilazimishe mambo wewe utakavyo,hunijui na sina haja ya kujielezea kwako so we kaa pembeni hangaika na wako.
Hajatetea ila amekusoma kua unafanya biashara kipopomaUkimtetea huyo jamaa utakuwa mtu wa ajabu!sio mstaarabu huyo hata kidogo
FactMtu akiwa sio mnunuzi ni vyema akapita kimya, tuwe waungwana kwenye vitu serious ukiwa mstaarabu utamcheck jamaa PM kama una ushauri. Najua wafanyabiashara na waungwana wameelewa.
Mmmh kwa kauli hizi jiandae kuwala supu na pilau kukuAsante sana,ila haitofika...endelea kusubiria.
Hajatetea ila amekusoma kua unafanya biashara kipopoma
Mkuu zingatia hili tafadhali!Asante sana,ila haitofika...endelea kusubiria.
Customer care zero mjomba.
Improve customer care skills, kuwa tayari kudeal na watu wa aina tofauti bila kuchafua image yako na kwenye biashara.Sijaelewa unamaanisha nini