NYEKUNDU YA BIBI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 2,300
- 2,970
Hakuna mkoa Kuku Bei rahisi kama Singida
Mkuu Inabidi uniambie upo sehem unipe na namba zako unielekeze kuliko na kuku wanaouzwa bei rahisi huko singida utakua umenisaidia kweli maana nakoagiza kuku wanauzwa bei adi napata faida kidogo ntashukuru ukinisaidia kwa hiliHakuna mkoa Kuku Bei rahisi kama Singida
Mkuu punguza bei unauza ghali sanaHabari za muda huu natafuta mtu mwenye hotel au mgahawa ambaye ntakua nampelekea kuku wa kienyeji original kutoka singida vijijini kwa wingi mfano naweza kua nampelekea kuku 50 Kwa week au kuku 100 kwa week
Pia nauza kuku hao wa kienyeji kutoka singida kwa rejareja .....mtu akihitaji ikiwa Ni ofisin au nyumbani nampelekea
NB: ukinunua kuku kuanzia watatu nakuletea free chini ya hapo utalipia usafiri
Napatikana kimara mwisho 0692669235
View attachment 1177710View attachment 1177712
Mkuu Kama unachukua wa jumla Bei Ni tofauti na rejareja ....pia nawatoa mbali Sana mkuuu napata kafaida kadogo maana sikuiz singida wamestuka wamekua wanatuuzia Bei kubwa sisi wa mikoani maana wameona saivi Ni dili SanaMkuu punguza bei unauza ghali sana
Kwani umesema ni bei gani tena kwa kuku mmoja?5000 gani tena mkuu