Mahole
JF-Expert Member
- May 17, 2018
- 682
- 924
Huyo anaongelea wadangaji wale wa visingeliKuku wa kienyeji unaowajua wewe ni namna gani boss kama kuna aina nyingine tujulishe
Huyo anaongelea wadangaji wale wa visingeliKuku wa kienyeji unaowajua wewe ni namna gani boss kama kuna aina nyingine tujulishe
Unaona sasa,ulitakiwa kuweka hadharani hii mamboEbwana tunaanza tuma kuanzia kumi ndugu yangu
Hahahahahaaaaaaaaaaaaa!!!!we kibokonimefungua fastaaa nikajua "kuku wa kienyeji" wale ninaowajua mimi
Kuku wa kienyeji unaowajua wewe ni namna gani boss kama kuna aina nyingine tujulishe
Mkishindwana tuchekiane mkuunahitaji mayai ya kienyeje kiasi chochote kile unachoweza kupata; nipe bei.
Hiyo 15 ndiyo wakubwa kabisa?Bei inategemeana na ukubwa wa kuku ila Kuna wapo wa 15,13 hawa ni majogoo na matetea ni 13,12