yaser
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 1,361
- 299
Ni eneo zur liko barabaran kabisa karibia na magorofa ya dege. Umeme umepita na barabara ya lami. Umbali ni mita 50 kutoka main road. Ukubwa ni mita 23*24. Bei ni milion 6 maelewano yapo. Hakuna dalali mimi mwenyew ndio mmiliki wa eneo hili. Nitafute 0713806766.