BANGO JEUPE
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 3,060
- 2,111
SOLD
Ndo hicho chief mi ninacho kipya kabisaHii Tunaita Diagnosis tool
Ni series gani mkuu?, nikuelekeze uende sehemu ukachukue hela. Ila discount iwepo!!Kifaa ni kipya kwenye box lake
Iko progamming Nauza mil 1 TZS
Call
0718295182
Nahisi hata bei yake haijui! Achilia mbali matumizi yake na hilo swali ulilomuuliza!! Kwah kwah...kwah...!Ina diagnos gari zipi? Na vp malori inaweza ?
Wewe jamaa hujatuliaNahisi hata bei yake haijui! Achilia mbali matumizi yake na hilo swali ulilomuuliza!! Kwah kwah...kwah...!
Kibaka nani alafu hao wazungu na wahindi wanahusiana vipi na bidhaa yanguVibaka wamekuwa hi-tech siku hizi. Washagundua Mzungu/Muhindi hawezi ingia humu