Mtoto WaKabwela
Member
- Mar 25, 2011
- 28
- 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wakuu,
Nimefunga Container ambalo ndani yake kuna Jeki 100, kama kunamtu atahitaji iwe kwa jumla ama rejareja tafadhari naomba ani- PM.
Container litafika mwezi January.
Bei ni Tsh 10,000/-
Natanguliza shukrani
Kwanini unaniulizi kama nipo Sudan ya kusini? Ni kwa ajili ya magari madogo shekhe!Jeki za gari kubwa au ndogo?
We uko huku Sudan ya Kusini kama mimi au wapi?
Kwanini unaniulizi kama nipo Sudan ya kusini? Ni kwa ajili ya magari madogo shekhe!
mimi nahitaji nizipi H/drorck.au Kashata ???je namikono yake?? utapatikana wapi phone ple...
Ni scissor Jacks nadhani bongo mnaziita mkasi au kashata kama ulivyo sema! ni Pm email, number au mawasiliano yako yoyote ili zikifika nikushtue. kwa sasa bado nipo safarini sijajua nikifika bongo nitatumia number gani.mimi nahitaji nizipi H/drorck.au Kashata ???je namikono yake?? utapatikana wapi phone ple...
Kwasababu namimi naishi huku.Kwanini unaniulizi kama nipo Sudan ya kusini? Ni kwa ajili ya magari madogo shekhe!