Mkuu plz naomba uniwekee niko chalinze nakodi fuso kesho nilifuate
nipm ur numberNjoo Ubungo
Duu pole sana jembe, hivi huna baba, mama, kaka, dada, ba mdogo, ma mdogo nk nk nk, wamekufa au umezaliwa hivyohivyo bila ya wote hao?Nipo UDSM ndio kwanza naingia mwaka wa pili,sina familia.
Aisee sinunuagi hivi vyombo vilivyotumika...hilo jaba waweza kuta lilikuwa linatumika chooni
Asante.Duu pole sana jembe, hivi huna baba, mama, kaka, dada, ba mdogo, ma mdogo nk nk nk, wamekufa au umezaliwa hivyohivyo bila ya wote hao?
pole sana aiseeAsante.
Baba alifariki mwaka 2003 na mama 2014.
Hao wengine wapo ila nikiomba majibu ni wana hali mbaya kiuchumi.
Tatizo lipo kwangu hivyo huwezi kuamini.
Weka picha babaNauza Jaba la kuhifadhia maji
ahhhhhhhhhhhhhhhhhhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaMkoani unatuma?