KISHIMUNDU KWETU
Senior Member
- Jun 21, 2016
- 132
- 165
6 s mkuu sh ngap.??? 32 gb
6 s mkuu sh ngap.??? 32 gb
huyu Deimos nimemtumia anasema sim anasema hajaipata na ela hajanipatia kwel najuta iPhone 5 yangu
dah kk nlkua naona ni mtu wa maana kumbe alinipumbaza ila hatafika mbali na hiyo simuDaaah mkuu kweli umemtumia kwa kumuamini namna hiyo!? Pole ila hiyo kama umejitakia pia, unamuamini vipi mtu kwa kumpa mzigo bila malipo tena mkoani. Mimi nilikataa.
Mwezi ujao nitakuwa mteja wako wa 5s iwe white nyuma gold au silver.
ni mbovu??dah kk nlkua naona ni mtu wa maana kumbe alinipumbaza ila hatafika mbali na hiyo simu
ni mbovu??
Iphone 6 16GB au 6s 16 GB kama zipo nichek
Zipo mkuu.
6 kwa 950k
6+ kwa 1.1 m
Iphone 6 16GB au 6s 16 GB kama zipo nichek
no ilkua nzima I mean njia ya ujanja wake fupi atachomwa ata moto ckumojani mbovu??
Tuma no yako inbox ...Habari wakuu. Na wote wenye ndoto za kumiliki Iphones.
Iphones used zilizo katika hali bora zinapatikana. Unachotakiwa ni jambo jepesi tu. Weka iphone unayohitaji nitakupatia bei zake na kukufikishia. Karibuni nyote.
Kwa haraka haraka:
Iphone 4s : 300,000
Iphone 5: 400,000 - 450,000.
Bila kusahau iphone 5s, 6, 6s, 6+.
Nyingie weka order nitakufikia kadri ya uwezo wangu kwa bei rafiki.
Nimekutumia namba naona kimya mkuu.... Umeghairi nini!?Tuma no yako inbox ...
Thanks ntakupigia Leo ..Nimekutumia namba naona kimya mkuu.... Umeghairi nini!?
mkuu...Thanks ntakupigia Leo ..