Nauza ID yangu ya "Mudawote"

kwani u dc umeshaupata au umepatikana au ndio yule

ukiuza tuletee mrejesho hapa kama biashara nzuri tuchangamkie fursa
 
U dc umeshapita sasa kijana kagundua hama ishu anayosubiria
 
Sikunyingi sana nim ekuwa nikiwaza kuiuza au kuibinafsisha hii ID yangu kwa mtu ila nilikuwa sijapata wazo naibinafsishaje au nampa nani..... hili bandiko limeniamsha, kumbe nami naweza kuiweka dau ID yangu.

Ilamie sina masharti ya siasa wala mahusiano maana sifungamani na upande wowote. Atakayenunua atakuwa huru kuifanya chochote kile. Kuiacha ife hivihivi naona si sawa.

Nikikaa sawa ntaanzisha uzi wa kuuza ID yangu, asante sanamtoa mada.

Kasie.
 
kwa promo kama hizi sitastuka saaana mtoa mada akiwa mbunge wa CCM baada ya miaka 5
 
Jamani mwenye kuhitaji ID yangu ya Mudawote naiuza. Masharti, atakayeinunua anatakiwa aendeleze mapambano zidi ya ukawa/chadema na awe mtiifu kwa CCM na viongozi wake.

Nakaribisha wanunuzi
Weka bei ukijumlisha na vat na receipt kisha unatoa 10%?
 
Back
Top Bottom