Haludzedzele
JF-Expert Member
- Nov 22, 2012
- 1,468
- 528
Dah tulkurupuka mwenyee nimetangaza kuuza lkn akuna kituHabari wakuu daah nilinuanua hisa bila kutafuta washauri sasa nahangaika maana hata kuuza mawakala wote wanasema Hakuna mteja nimejaribu hata kuomba wanipe kiasi chochote Hakuna majibu.
Nimeleta hapa maana nafahamu hapa kuna wadau wengi zipo Hisa 200 tu, nipo radhi kuchukua kiasi chochote kwa atakayehitaji na sifahamu kama nitakuwa sipo sahihi kimaelezo mtanilekebisha asante!
WIMICKY Tafadhali soma Elimu ya Uwekezaji wa Hisa