Nauza hii Prado 1KZ nashida ya pesa.

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,575
8,595
c3ff2c60a92a26469503ba6a6f59c17f.jpg
5bc66d26000c509d982e633d071d65bf.jpg
0b8080fd093391d1d54866bfd0041fce.jpg
bc2ea1d0853871b78c20e6384439e0ae.jpg

Toyota Prado 1KZ
Diesel Engine
Km190k
Contact 0688300088
Duty Paid with new tyres.
19,000,000/=Mazungumzo yapo karibu.
 
Kinachoipa bei kubwa hiyo gari ni Rangi ,Engine,matunzo mazuri ya mtumiaji au..nifafanulie tafadhali maana sie wengine hatuyajui sana magari.
 
Huyo jini mkuu na usawa huu wa kulipia tsh 40 ya road licence kwenye fuel nadhani kwa hilo utakuwa unalipa gharama ya kununua starlet kila mwaka.
 
Kinachoipa bei kubwa hiyo gari ni Rangi ,Engine,matunzo mazuri ya mtumiaji au..nifafanulie tafadhali maana sie wengine hatuyajui sana magari.
Gari unavyoiona haijawai kupigwa rangi tz ina service ya Noble Motors kila kitu kipo sawa hivyo gari iko vizuri.
 
c3ff2c60a92a26469503ba6a6f59c17f.jpg
5bc66d26000c509d982e633d071d65bf.jpg
0b8080fd093391d1d54866bfd0041fce.jpg
bc2ea1d0853871b78c20e6384439e0ae.jpg

Toyota Prado 1KZ
Diesel Engine
Km190k
Contact 0688300088
Duty Paid with new tyres.
19,000,000/=Mazungumzo yapo karibu.
Kwa hiyo gari mm ningeichukua...sema basi tu pesa haijanitembelea muda mrefu...ningeichukua kwakweli...anyway kisicho ridhiki...hakiliki
 
Back
Top Bottom