masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 15,590
- 12,166
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja ntafute shefa humu nizinunue
wanaumeeeeeee naombeni tuongee
peleka mjini kwa jewels wa kidosi watakupa pesa, wanapima uzito wanakata asilimia yao unachukuwa cash yako.Bado ni mpya nimezivaa mwezi mmoja
ni gram mbili kila moja
nilinunua laki 4
nauza laki 3 na 80
maongezi yapo unahitaji ni pm
Bado ni mpya nimezivaa mwezi mmoja
ni gram mbili kila moja
nilinunua laki 4
nauza laki 3 na 80
maongezi yapo unahitaji ni pm
ujinga huu.Heleni ntazinunua bure ili ubaki nazo mwenyewe ila nimefurahia vidole vyako ni vizuri sana kupakata mashine kwa ufanisi mkubwa naona mme anafaidi, vidole vinatia hamasa vile je kule kwenyewe kukoje? Karucee umeziona Heleni?
peleka mjini kwa jewels wa kidosi watakupa pesa, wanapima uzito wanakata asilimia yao unachukuwa cash yako.
kuna vitu vya kutafuta wateja mjini lakini siyo dhahabu, masonara wenyewe ndio wateja namba moja.
Heleni ntazinunua bure ili ubaki nazo mwenyewe ila nimefurahia vidole vyako ni vizuri sana kupakata mashine kwa ufanisi mkubwa naona mme anafaidi, vidole vinatia hamasa vile je kule kwenyewe kukoje? Karucee umeziona Heleni?
mimi siuzi HELENI nauza HERENI
Heleni ntazinunua bure ili ubaki nazo mwenyewe ila nimefurahia vidole vyako ni vizuri sana kupakata mashine kwa ufanisi mkubwa naona mme anafaidi, vidole vinatia hamasa vile je kule kwenyewe kukoje? Karucee umeziona Heleni?
copy to Karucee
Hapa shemeji umenichonganisha umepiga copy ya kuonekana kwa mhusika leo nyumbani hapalaliki sorry jamani ulimi uliteleza