Ningelinunua ila barabara zetu zilizojengwa na serikali ya magamba kwa miaka 50 ya uhuru, zina mabonde na mashimo mengi tumbo lake litakuwa linagusa chini.
13M tops lina 6 cd changer,7 inch sony display,1 dvd player na alarm
atanulie Moshimpe tu feis buku mtoto wa kileo atanulie huku bongo.
lina mimba hilo
likikosa mteja nigaie plz!