Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?Hii gari mpaka itembee lazima uandae milioni 10
mkuu hapo kwenye bluu inamahana huna uhakika au ndo kuficha taarifa sahihi ili usioneshe ukubwa halisi wa deni?, alafu naona nguo ya rangi ya kijani, wewe ni kada usiyelipa kodi??????TRA inadaiwa kama milioni moja hivi. kwa matatizo halina liko poa tu engine iko safi na kila kitu kasoro yake ni haijalipiwa muda na sasa ni mil1
hahahahaha hapana angalia kwenye maxmalipo ingia namba za. gari itakwambia ni kiasi ganimkuu hapo kwenye bluu inamahana huna uhakika au ndo kuficha taarifa sahihi ili usioneshe ukubwa halisi wa deni?, alafu naona nguo ya rangi ya kijani, wewe ni kada usiyelipa kodi??????