GARETHBALE
Member
- Dec 22, 2013
- 76
- 332
Mkuu,
Samahani. Hujaweka details za kutosha. Mfano;
1. Mahali kiwanja kipo.
2. Bei yake.
3. Kimepimwa au hakijapimwa.
4. Bei ya gari.
5. mawasiliano (ikihitajika).
Tafakari.
Gari ya mwaka 2000 imetembea km 150000 sababu ya kuuza nampeleka mama India kwa matibabu
Mkuu sijaelewa ni nani hasa anauza gari? @ brigtaNashukuru kwa supports zenu,
Ukubwa wa kiwanja ni 82m kwa 48m
Documents zote zipo
Picha za gari ni hiz
Picha za gari niView attachment 211650View attachment 211651View attachment 211652View attachment 211653View attachment 211654
Pole kwa matatizo.Kiwanja kipo mbagala maeneo ya kichemchem,bei ya Kiwanja ni 4m na bei ya gari ni 3.5m mawacliano 0652713523
Pole kwa matatizo.
Nimejaribu namba yako sijaipata. Inasema namba haipo!