Unajua wabongo kwenye matangazo Hamna kitu kabisa,halafu kila siku wanaelimishwa humu.Sijui tatizo ni nini?ingia hata Alibaba uone jinsi wachina wanavyotoa matangazo yao,sasa hapa MTU anakukuluka na vitangazo vya mistari miwili.Oya hao kuku tafuta meza sehemu then uwakaange uuze kwa bei ya chini kidogo kuliko wakaangaji wengine,hii itakuongezea profit margin maana kuku hao ni wachache sana.
Au waweza kuwauza wabichi mezani ambapo kila upande elfu 3,filigisi elfu 1,shingo 500,miguu +kichwa+utumbo 500.Jumla ni elfu 8 kwa kila kuku.wakiisha ungiza kuku 400 bandani,kumbuka ujasiriamali ni kwa watu wajasiri.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.