Haijawahi toa pesa, adsense ni non hosted ina salio 2.6$.
Mkuu nafanya blogging tangu 2012 mpaka leo na sehemu kubwa ya mapato yangu ni ktk blogging, yaani Shida kubwa sio gharama ulizotumia kuandaa, shida ni hali ya account yako hakuna blogger mzoefu anayeweza kununua account ambayo haina hata barua kwa 50,000 hayupo... mazagazaga na Machozi ya Simba na algorithim njooni huku mnunue account kwa bei elekeziUnamaanisha blog yenye content pamoja na adsense unaweza ipata kwa 50,000/=?
Asante kwa maoni yako!
Hahahaaa, jamaa ni mgeni kwenye fani alitakiwa kuwa wazi asaidiwe kupata walau dola 100 kwa sikuHuku unauza 250,000 kule kwingine 80000 unajielewa kweli
Mkuu wazoefu hawaangalii content, wanajali zaidi account ya AdSense ungekuwa ulaya ungeuza content ila bongo kupata pesa eti kwasababu site ina content sahau, wanaangalia na kujali AdSense accountNaamini unafahamu kuwa barua ni kwa ajili ya account ya adsense na siyo blog. Bei hiyo niliyoiweka ni ya jumla yaani account ya blog na account ya adsense. Nashukuru kwa mchango wako, ningependa pia kupata ujuzi zaidi kutoka kwako kama hutojari.
Hakuna atakayekubali kununua AdSense account bila domain si unajua tangu November 2018 walibadili policy? Zamani ukiwa na non hosted account unaweza kuitumia kwenye site yoyote ile sikuhizi wamebadili unaitumia kwenye site ambayo wame I review na kuridhishwa nayo.... Ukiuza hiyo account hata kwa elfu 30 ntakupa elfu 20 bure.Hiyo 80,000 ni adsense pekee na 250,000 ni adsense na blog. Bilashaka umeielewa.
Mbona mazafaka tena...!Sikupi hata 25000 hizo ni sawa na tatu mzuka alafu iko kwenye domain ya blogspot punguza kichaa kijana au Fanya wewe kama unaweza labda itakulipa hiyo hela mazakafa
Jamaa anakichaa kikaliMbona mazafaka tena...!
Kwamba kichaa kikali...Jamaa anakichaa kikali
hahahaha, i think jamaa ni comedianMkuu nafanya blogging tangu 2012 mpaka leo na sehemu kubwa ya mapato yangu ni ktk blogging, yaani Shida kubwa sio gharama ulizotumia kuandaa, shida ni hali ya account yako hakuna blogger mzoefu anayeweza kununua account ambayo haina hata barua kwa 50,000 hayupo... mazagazaga na Machozi ya Simba na algorithim njooni huku mnunue account kwa bei elekezi
dollar 100 per day unaiita angalau daah ...naomba technique mm niwe napata hata 50dollar mkuu nitashukuru sana hali ni tete SijutiHahahaaa, jamaa ni mgeni kwenye fani alitakiwa kuwa wazi asaidiwe kupata walau dola 100 kwa siku