Habari ndugu zangu,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mi ni mfanyakazi wa tanga fresh naish tanga,
Ila nina ofisi ya TIGO PESA, M PESA, MAX MALIPO, AIRTEL MONEY NA HALOPESA.
Ofisi ipo mwananyala kwa kopa, karibu na kituo cha polisi au uwanja wa mpira kwa kopa,
Kwa sababu za umbali nimeshindwa kuisimamia na kuiendeleza hivyo basi nimeamua kuiuza kama mtu atanunua pia nauza vifaa vya ofisi,
Ofisi ina vitu vifuatavyo.
SUBWOOFER NDOGO
VITI VYA PLASTIKI VIWILI
MEZA KUBWA, (SERVICE DESK YA MBF)
BANGO ZA AINA ZOTE,
TILL YA TIGO
TILL YA VODA
TILL YA HALOTEL
TILL YA AIRTEL MONEY
MAX MALIPO MACHINE
Kwa atakaye hitaji ofisi nzima nitauza kwa Tsh. 1.3 millioni ambapo ni vifaa vyote pamoja na mkataba wa frem unaisha mwezi wa kumi tarehe 10. Jina na usajili wa till zote nitahamisha kwake ila awe na nyaraka za biashara TIN NA LESSENI.
KWA KIMOJA KIMOJA NAUZA KAMA IFUATAVYO
TIL TIGO 200,000
TILL VODA 150,000
TILL AIRTEL 80,000
TILL HALOTEL 50,000
MAX MALIPO 450,000
SERVICE DESK 200,000
VITI 2 PLASTIC 25,000
MABANGO YOTE 25,000.
SUBWOOFER 100,000
KWA ANAYEHITAJI KUENDELEZA BIASHARA NI PAZURI PAKIWA NA USIMAMIZI MZURI NA ITAMPASA AONGEZE MILLIONI 2 AU HATA 1 NA NUSU KUENDELEZA BIASHARA.
KWA MAWASILIANO ZAIDI NA MTU ALIYE SERIOUS TUWASILIANE KUPITIA
0674 637243
MTEJA ALIYE SERIOUS PLEASE TUEPUKE USUMBUFU USIO LAZIMA.
NIWATAKIE SIKU NJEMA.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza mi ni mfanyakazi wa tanga fresh naish tanga,
Ila nina ofisi ya TIGO PESA, M PESA, MAX MALIPO, AIRTEL MONEY NA HALOPESA.
Ofisi ipo mwananyala kwa kopa, karibu na kituo cha polisi au uwanja wa mpira kwa kopa,
Kwa sababu za umbali nimeshindwa kuisimamia na kuiendeleza hivyo basi nimeamua kuiuza kama mtu atanunua pia nauza vifaa vya ofisi,
Ofisi ina vitu vifuatavyo.
SUBWOOFER NDOGO
VITI VYA PLASTIKI VIWILI
MEZA KUBWA, (SERVICE DESK YA MBF)
BANGO ZA AINA ZOTE,
TILL YA TIGO
TILL YA VODA
TILL YA HALOTEL
TILL YA AIRTEL MONEY
MAX MALIPO MACHINE
Kwa atakaye hitaji ofisi nzima nitauza kwa Tsh. 1.3 millioni ambapo ni vifaa vyote pamoja na mkataba wa frem unaisha mwezi wa kumi tarehe 10. Jina na usajili wa till zote nitahamisha kwake ila awe na nyaraka za biashara TIN NA LESSENI.
KWA KIMOJA KIMOJA NAUZA KAMA IFUATAVYO
TIL TIGO 200,000
TILL VODA 150,000
TILL AIRTEL 80,000
TILL HALOTEL 50,000
MAX MALIPO 450,000
SERVICE DESK 200,000
VITI 2 PLASTIC 25,000
MABANGO YOTE 25,000.
SUBWOOFER 100,000
KWA ANAYEHITAJI KUENDELEZA BIASHARA NI PAZURI PAKIWA NA USIMAMIZI MZURI NA ITAMPASA AONGEZE MILLIONI 2 AU HATA 1 NA NUSU KUENDELEZA BIASHARA.
KWA MAWASILIANO ZAIDI NA MTU ALIYE SERIOUS TUWASILIANE KUPITIA
0674 637243
MTEJA ALIYE SERIOUS PLEASE TUEPUKE USUMBUFU USIO LAZIMA.
NIWATAKIE SIKU NJEMA.