GreenHouse
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 280
- 262
Nauza Used Batteries za Solar (Dry Cell) Zenye Ampere 170 na Volts 12.
Zinaweza kutumika kama Battery Bank ya Solar Power au Umeme wa kawaida.
Ziko mbili na kila moja inauzwa Laki Mbili tu (200,000).......****Mpya inauzwa 1,200,000 so grab a bargain****-------Nimeshazitumia kwa muda sasa na Naongeza Nguvu (Capacity) ya Battery Bank kwahiyo Hazinifai tena kwa matumizi yangu...
Zimetengenezwa na NARADA (One of the Best Battery Manufacturers in The World)...
Zipo Dar Es Salaam.
Kwa Mawasiliano piga simu namba 0714881500.
NB: Please do your research Kabla hujapiga simu... Im not an electrician....
NB: Kwa Msaada tu Naweza kuwasha Fridge kwa Masaa 12, TV 42 inch LED kwa masaa Nane, Pasi Kwa Saa Moja, Taa na vitu vingine vya ndani siku nzima....(Kwahiyo Battery zinafanya kazi sawa sawa...)
Asanteni.
View attachment 128444 View attachment 128445
Zinaweza kutumika kama Battery Bank ya Solar Power au Umeme wa kawaida.
Ziko mbili na kila moja inauzwa Laki Mbili tu (200,000).......****Mpya inauzwa 1,200,000 so grab a bargain****-------Nimeshazitumia kwa muda sasa na Naongeza Nguvu (Capacity) ya Battery Bank kwahiyo Hazinifai tena kwa matumizi yangu...
Zimetengenezwa na NARADA (One of the Best Battery Manufacturers in The World)...
Zipo Dar Es Salaam.
Kwa Mawasiliano piga simu namba 0714881500.
NB: Please do your research Kabla hujapiga simu... Im not an electrician....
NB: Kwa Msaada tu Naweza kuwasha Fridge kwa Masaa 12, TV 42 inch LED kwa masaa Nane, Pasi Kwa Saa Moja, Taa na vitu vingine vya ndani siku nzima....(Kwahiyo Battery zinafanya kazi sawa sawa...)
Asanteni.
View attachment 128444 View attachment 128445