Ndug wana JF.,Habari zenu.. Nauza bajaj 2 aina ya 2stroke zipo katika hali nzuri na zinatembea barabarani. Kwa kila moja bei yake ni sh MILLIONI MOJA NA LAKI NANE (Tsh 1,800,000). Zipo eneo la Mwenge opposite na Efatha bank. Kwa mawasiliano zaidi 0717-163106
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.