Job K
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 9,315
- 7,113
Tasia, asali mbichi tunaipenda lakini bei yako imepita wastani wa bei ya soko kipindi hiki. Bila shaka wee ni mkulima na sio dalali; weka address zako hapa jamvini, tutakuja ku-bargain hapo hapo dukani kwako.
Kwa wale mnaohitaji kuanzia lita 100 na kuendelea nipeni oder zenu. Asali mbichi kwangu nauza 5,000/= kwa lita ambayo haijachujwa lakini (ghafi kutoka shambani). Hivyo utachuja na kufungasha mwenyewe huko uliko. Tukikubaliana naweza kukutumia mzigo mpaka ulipo (hasa kwa mikoa ya Mwanza, Shinyanga, Kagera, Arusha na Dar). Tatizo wananchi wanakwambia wanahitaji asali kwa wingi kumbe uwezo wao ni lita 5!!!